Friday, 29 November 2013

Evelyn Lozada 6-Months Pregnant By Baseball Player?

Evelyn Lozada went from basketball wife to football wife, and now ‘baseball wife’ may be in her future.

Basketball Wives star Evelyn Lozada has a little bundle of joy on the way!
“I am so excited to announce a wonderful blessing — I’m pregnant!” the 37-year-old tells PEOPLE exclusively, confirming that she is six months along.
Lozada, who divorced Chad “Ochocinco” Johnson in 2012, after just two months of marriage, says she has been planning to have a baby for years and even talked about it on her reality show. So she was overjoyed when she took an at-home test and learned she was pregnant.
Lozada is keeping the identity of the baby’s father a secret at the moment.

Monday, 28 October 2013

Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond platnumz kuzungumza na mtandao wa GPL na kuelezea jinsi tukio hilo zima lilivyokuwa. Katika mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu. Sababu ya kwanza (1) – UKARIMU WA WEMA Diamond alisema kuwa alipotua Hong Kong alishangaa kukutana na mapokezi ya Wema kwenye uwanja wa ndege jambo ambalo hakulitegemea. “Alinionesha ukarimu wa hali ya juu mno. Wakati tulipokuwa hapa Bongo tulikuwa hatusalimiani. “Kuna vitu vingi vya ajabu vilitokea huko nyuma kati yangu na Wema. Sikufikiria wala kuwaza kama anaweza akawa mkarimu kwangu kiasi kile. Akaongeza: “Kwa mazingira yalivyokuwa, kwa namna yoyote lazima mwanaume aliyekamilika arudishe moyo nyuma na kuacha mambo mengine yaendelee. “Kiukweli nisema tu kuwa hata tungekutana Morogoro au Dodoma kwa ukarimu ule mwisho wa siku tungerudisha uhusiano wetu.” Alisisitiza Diamond. Sababu ya Pili (2) – Pamoja na Ukarimu – Mapokezi ya nguvu aliyopewa Diamond alisema baada ya mapokezi ya nguvu, Wema alimpeleka kwenye hoteli ya nyota tano (five stars) ambapo huko alipatiwa huduma ‘Za Hatari’ na kujiona kama yupo kwa mama Nasibu vile. Sababu ya tatu (3) – Ujasiri wa wema kwenda Hong Kong na kujiandaa kuwa mwenyeji wake. Alifunguka kuwa kitendo cha Wema kuwa mwenyeji wake China ambako alikuwa mgeni hadi akapazoea nacho ni siri nyingine iliyochangia wao ‘kukumbushiana’ Sababu ya nne (4) – Mapenzi mazito aliyopewa huko Uchinani na Wema Diamond alisema kuwa mwanadada huyo alimuonesha mapenzi mazito (yaani kutekwa kimapenzi) hivyo haikuwa rahisi kumchomolea kwani waliishi kama ndiyo penzi jipya linachipuka, akajikuta akiogelea naye. Sababu ya tano (5) - Bado alikuwa na mawazo ya kupata mtoto na Wema Diamond alisema kuwa bado ana ndoto ya kupata mtoto kupitia kwa Wema ambaye anajua kuwa alishamwambia lengo lake juu ya kupata naye uzao hivyo katika nyakati za kukutana kwao anaamini ndoto itatimia. Penny Je, hatima yake nini? Hata hivyo, jitihada za kumtafuta Penny ziligonga mwamba kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa lakini juzi wanahabari wetu walipofika nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori, Dar waliambiwa mrembo huyo alilala hapo na kuondoka asubuhi. 26.10.2013 - Tags: Wema Sepetu Diamond

Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond platnumz kuzungumza na mtandao wa GPL na kuelezea jinsi tukio hilo zima lilivyokuwa. Katika mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu. Sababu ya kwanza (1) – UKARIMU WA WEMA Diamond alisema kuwa alipotua Hong Kong alishangaa kukutana na mapokezi ya Wema kwenye uwanja wa ndege jambo ambalo hakulitegemea. “Alinionesha ukarimu wa hali ya juu mno. Wakati tulipokuwa hapa Bongo tulikuwa hatusalimiani. “Kuna vitu vingi vya ajabu vilitokea huko nyuma kati yangu na Wema. Sikufikiria wala kuwaza kama anaweza akawa mkarimu kwangu kiasi kile. Akaongeza: “Kwa mazingira yalivyokuwa, kwa namna yoyote lazima mwanaume aliyekamilika arudishe moyo nyuma na kuacha mambo mengine yaendelee. “Kiukweli nisema tu kuwa hata tungekutana Morogoro au Dodoma kwa ukarimu ule mwisho wa siku tungerudisha uhusiano wetu.” Alisisitiza Diamond. Sababu ya Pili (2) – Pamoja na Ukarimu – Mapokezi ya nguvu aliyopewa Diamond alisema baada ya mapokezi ya nguvu, Wema alimpeleka kwenye hoteli ya nyota tano (five stars) ambapo huko alipatiwa huduma ‘Za Hatari’ na kujiona kama yupo kwa mama Nasibu vile. Sababu ya tatu (3) – Ujasiri wa wema kwenda Hong Kong na kujiandaa kuwa mwenyeji wake. Alifunguka kuwa kitendo cha Wema kuwa mwenyeji wake China ambako alikuwa mgeni hadi akapazoea nacho ni siri nyingine iliyochangia wao ‘kukumbushiana’ Sababu ya nne (4) – Mapenzi mazito aliyopewa huko Uchinani na Wema Diamond alisema kuwa mwanadada huyo alimuonesha mapenzi mazito (yaani kutekwa kimapenzi) hivyo haikuwa rahisi kumchomolea kwani waliishi kama ndiyo penzi jipya linachipuka, akajikuta akiogelea naye. Sababu ya tano (5) - Bado alikuwa na mawazo ya kupata mtoto na Wema Diamond alisema kuwa bado ana ndoto ya kupata mtoto kupitia kwa Wema ambaye anajua kuwa alishamwambia lengo lake juu ya kupata naye uzao hivyo katika nyakati za kukutana kwao anaamini ndoto itatimia. Penny Je, hatima yake nini? Hata hivyo, jitihada za kumtafuta Penny ziligonga mwamba kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa lakini juzi wanahabari wetu walipofika nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori, Dar waliambiwa mrembo huyo alilala hapo na kuondoka asubuhi. 26.10.2013 - Tags: Wema Sepetu Diamond

Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond platnumz kuzungumza na mtandao wa GPL na kuelezea jinsi tukio hilo zima lilivyokuwa. Katika mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu. Sababu ya kwanza (1) – UKARIMU WA WEMA Diamond alisema kuwa alipotua Hong Kong alishangaa kukutana na mapokezi ya Wema kwenye uwanja wa ndege jambo ambalo hakulitegemea. “Alinionesha ukarimu wa hali ya juu mno. Wakati tulipokuwa hapa Bongo tulikuwa hatusalimiani. “Kuna vitu vingi vya ajabu vilitokea huko nyuma kati yangu na Wema. Sikufikiria wala kuwaza kama anaweza akawa mkarimu kwangu kiasi kile. Akaongeza: “Kwa mazingira yalivyokuwa, kwa namna yoyote lazima mwanaume aliyekamilika arudishe moyo nyuma na kuacha mambo mengine yaendelee. “Kiukweli nisema tu kuwa hata tungekutana Morogoro au Dodoma kwa ukarimu ule mwisho wa siku tungerudisha uhusiano wetu.” Alisisitiza Diamond. Sababu ya Pili (2) – Pamoja na Ukarimu – Mapokezi ya nguvu aliyopewa Diamond alisema baada ya mapokezi ya nguvu, Wema alimpeleka kwenye hoteli ya nyota tano (five stars) ambapo huko alipatiwa huduma ‘Za Hatari’ na kujiona kama yupo kwa mama Nasibu vile. Sababu ya tatu (3) – Ujasiri wa wema kwenda Hong Kong na kujiandaa kuwa mwenyeji wake. Alifunguka kuwa kitendo cha Wema kuwa mwenyeji wake China ambako alikuwa mgeni hadi akapazoea nacho ni siri nyingine iliyochangia wao ‘kukumbushiana’ Sababu ya nne (4) – Mapenzi mazito aliyopewa huko Uchinani na Wema Diamond alisema kuwa mwanadada huyo alimuonesha mapenzi mazito (yaani kutekwa kimapenzi) hivyo haikuwa rahisi kumchomolea kwani waliishi kama ndiyo penzi jipya linachipuka, akajikuta akiogelea naye. Sababu ya tano (5) - Bado alikuwa na mawazo ya kupata mtoto na Wema Diamond alisema kuwa bado ana ndoto ya kupata mtoto kupitia kwa Wema ambaye anajua kuwa alishamwambia lengo lake juu ya kupata naye uzao hivyo katika nyakati za kukutana kwao anaamini ndoto itatimia. Penny Je, hatima yake nini? Hata hivyo, jitihada za kumtafuta Penny ziligonga mwamba kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa lakini juzi wanahabari wetu walipofika nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori, Dar waliambiwa mrembo huyo alilala hapo na kuondoka asubuhi. 26.10.2013 - Tags: Wema Sepetu Diamond

Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond platnumz kuzungumza na mtandao wa GPL na kuelezea jinsi tukio hilo zima lilivyokuwa. Katika mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu. Sababu ya kwanza (1) – UKARIMU WA WEMA Diamond alisema kuwa alipotua Hong Kong alishangaa kukutana na mapokezi ya Wema kwenye uwanja wa ndege jambo ambalo hakulitegemea. “Alinionesha ukarimu wa hali ya juu mno. Wakati tulipokuwa hapa Bongo tulikuwa hatusalimiani. “Kuna vitu vingi vya ajabu vilitokea huko nyuma kati yangu na Wema. Sikufikiria wala kuwaza kama anaweza akawa mkarimu kwangu kiasi kile. Akaongeza: “Kwa mazingira yalivyokuwa, kwa namna yoyote lazima mwanaume aliyekamilika arudishe moyo nyuma na kuacha mambo mengine yaendelee. “Kiukweli nisema tu kuwa hata tungekutana Morogoro au Dodoma kwa ukarimu ule mwisho wa siku tungerudisha uhusiano wetu.” Alisisitiza Diamond. Sababu ya Pili (2) – Pamoja na Ukarimu – Mapokezi ya nguvu aliyopewa Diamond alisema baada ya mapokezi ya nguvu, Wema alimpeleka kwenye hoteli ya nyota tano (five stars) ambapo huko alipatiwa huduma ‘Za Hatari’ na kujiona kama yupo kwa mama Nasibu vile. Sababu ya tatu (3) – Ujasiri wa wema kwenda Hong Kong na kujiandaa kuwa mwenyeji wake. Alifunguka kuwa kitendo cha Wema kuwa mwenyeji wake China ambako alikuwa mgeni hadi akapazoea nacho ni siri nyingine iliyochangia wao ‘kukumbushiana’ Sababu ya nne (4) – Mapenzi mazito aliyopewa huko Uchinani na Wema Diamond alisema kuwa mwanadada huyo alimuonesha mapenzi mazito (yaani kutekwa kimapenzi) hivyo haikuwa rahisi kumchomolea kwani waliishi kama ndiyo penzi jipya linachipuka, akajikuta akiogelea naye. Sababu ya tano (5) - Bado alikuwa na mawazo ya kupata mtoto na Wema Diamond alisema kuwa bado ana ndoto ya kupata mtoto kupitia kwa Wema ambaye anajua kuwa alishamwambia lengo lake juu ya kupata naye uzao hivyo katika nyakati za kukutana kwao anaamini ndoto itatimia. Penny Je, hatima yake nini? Hata hivyo, jitihada za kumtafuta Penny ziligonga mwamba kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa lakini juzi wanahabari wetu walipofika nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori, Dar waliambiwa mrembo huyo alilala hapo na kuondoka asubuhi. 26.10.2013 - Tags: Wema Sepetu Diamond

Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Hatimaye sababu za Wema Sepetu na Diamond kurudiana zajulikana, soma mchezo mzima ulivyokuwa! Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond platnumz kuzungumza na mtandao wa GPL na kuelezea jinsi tukio hilo zima lilivyokuwa. Katika mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu. Sababu ya kwanza (1) – UKARIMU WA WEMA Diamond alisema kuwa alipotua Hong Kong alishangaa kukutana na mapokezi ya Wema kwenye uwanja wa ndege jambo ambalo hakulitegemea. “Alinionesha ukarimu wa hali ya juu mno. Wakati tulipokuwa hapa Bongo tulikuwa hatusalimiani. “Kuna vitu vingi vya ajabu vilitokea huko nyuma kati yangu na Wema. Sikufikiria wala kuwaza kama anaweza akawa mkarimu kwangu kiasi kile. Akaongeza: “Kwa mazingira yalivyokuwa, kwa namna yoyote lazima mwanaume aliyekamilika arudishe moyo nyuma na kuacha mambo mengine yaendelee. “Kiukweli nisema tu kuwa hata tungekutana Morogoro au Dodoma kwa ukarimu ule mwisho wa siku tungerudisha uhusiano wetu.” Alisisitiza Diamond. Sababu ya Pili (2) – Pamoja na Ukarimu – Mapokezi ya nguvu aliyopewa Diamond alisema baada ya mapokezi ya nguvu, Wema alimpeleka kwenye hoteli ya nyota tano (five stars) ambapo huko alipatiwa huduma ‘Za Hatari’ na kujiona kama yupo kwa mama Nasibu vile. Sababu ya tatu (3) – Ujasiri wa wema kwenda Hong Kong na kujiandaa kuwa mwenyeji wake. Alifunguka kuwa kitendo cha Wema kuwa mwenyeji wake China ambako alikuwa mgeni hadi akapazoea nacho ni siri nyingine iliyochangia wao ‘kukumbushiana’ Sababu ya nne (4) – Mapenzi mazito aliyopewa huko Uchinani na Wema Diamond alisema kuwa mwanadada huyo alimuonesha mapenzi mazito (yaani kutekwa kimapenzi) hivyo haikuwa rahisi kumchomolea kwani waliishi kama ndiyo penzi jipya linachipuka, akajikuta akiogelea naye. Sababu ya tano (5) - Bado alikuwa na mawazo ya kupata mtoto na Wema Diamond alisema kuwa bado ana ndoto ya kupata mtoto kupitia kwa Wema ambaye anajua kuwa alishamwambia lengo lake juu ya kupata naye uzao hivyo katika nyakati za kukutana kwao anaamini ndoto itatimia. Penny Je, hatima yake nini? Hata hivyo, jitihada za kumtafuta Penny ziligonga mwamba kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa lakini juzi wanahabari wetu walipofika nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori, Dar waliambiwa mrembo huyo alilala hapo na kuondoka asubuhi. 26.10.2013 - Tags: Wema Sepetu Diamond

Monday, 14 October 2013

J LO HONEY IS PREGNANT AGAIN!!!!!!!!!

If you're wondering what producer would cast Jennifer Lopez, a Puerto Rican-American, to play Barbadian Rihanna's mother in a movie, shame on you! It's 2013!Just kidding. We were surprised, too, until we learned that the film is animated.The movie is Home, and DreamWorks Animation is basing it off The True Meaning of Smekday, a 2011 children's book by Adam Rex. Tim Johnson will direct the flink, having previously helmed Antz and Over the Hedge.As The Wrap reports, Comedy legend Steve Martin will provide the voice of Captain Smek, the leader of a race of aliens called the Boov who colonize Earth and exile us humans elsewhere, certain that they're doing us a favor.Rihanna will voice a girl who evades this exile and teams up with a rogue Boov (played by The Big Bang Theory's Jim Parsons). And yes, J.Lo will play her character's mom.

CONGRATZ! Look like J Lo's gonna be a mother again! [http://wet.pt/17myuho]
We can only imagine that Jennifer and RiRi will team up for a song on the Home soundtrack.
Jen has a much more illustrious film career than Rihanna so far, though the Rated R singer has taken roles in Battleship and This Is the End
We'll see how well the two pop stars play mother-daughter when the film comes out in November 2014.






















Tusker Project Fame’s Bigger, Better & Beautiful New Stage!!!!!

The opening gala went down yesterday night at Ruaraka, a coulourful event that was aired live on Citizen TV and indeed alot of adjustments had been made to make the show better. The new season comes with a bigger and beautiful new stage and it looks really good. This is the satge where stars are going to be created and this is how it looks like,

TPF Stage
TPF Stage


TPF Stage

                       AND THE CONTESTANTS ARE
TPF StageTPF Stage





TPF Stage




TAKE IT FROM FIFI


“Just know, when you truly want success, you’ll never give up on it. No matter how bad the situation may get accept responsibility for your life. Know that it is you who will get you where you want to go, no one else Its hard to wait around for something you know might never happen; but its harder to give up when you know its everything you want.” 

Saturday, 12 October 2013

BEYONCE AND JAY Z : We Tried to Trademark Blue Ivy’s Name to Protect Her

In case you hadn’t heard, Jay Z and Beyoncé lost at something last year, which is very unlike the music royalty duo who are essentially showing us all how to win at life. They’re each multi-million dollar recording artists leading one of the toughest industries in the world and they have an impossibly adorable baby girl between them. In fact, the mention of their daughter Blue Ivy is the perfect segue into exactly how this power couple lost, and at what.
Jay-Z and Beyonce at the Brooklyn Nets Basketball Game on November 3, 2012
Last year, Jay Z and Beyoncé set out to trademark “Blue Ivy Carter” just days after their daughter’s birth in January of 2012, although several others had the same idea. According to Rolling Stone, the couple had future plans to turn the name into a brand for a line of baby products such as carriages, diaper bags, and even baby cosmetics.
Bey and Jay actually found out by way of another trademark request that a wedding planning company had been using the name Blue Ivy since 2009. This is why they lost. Veronica Alexandra, owner of Blue Ivy Events had the leg up on the moniker before Bey was even thinking about having a baby!
In a new and very revealing interview Jay Z recently did with Vanity Fair, the “Magna Carta” singer explained a very different reason for wanting to trademark Blue Ivy Carter: protection.
“People wanted to make products based on our child’s name,” Jay says in the interview, “and you don’t want anybody trying to benefit off your baby’s name. It wasn’t for us to do anything; as you see, we haven’t done anything.”
This is a one-eighty from the reasons Jay and Beyoncé stated last year when they cited their intentions to create a baby products brand, but that could’ve just been their plea before the judge. Rarely does the law side with emotional pleas, so it makes sense.
Either way you slice it, we understand Jay and Bey’s move to trademark Blue Ivy’s name, but if it really was for the sake of a future brand, we have to wonder if that idea was in their head the whole time they were combing the baby name books?

Kim Kardashian and Jonathan Cheban Reunite: Go Shopping (PHOTOS)

Kim Kardashian and Jonathan Cheban Out in L.A. on October 10, 2013

Wednesday, 9 October 2013

JAMANIII MTOTO SHILOLE APAGAWISHA

HAPO CHACHA

TWAAAAAA  BABA TWAAAAAA  BABA HEHEHE

                                                                                                                                                                                                                                                                                                     






Kijana anayedai ni mdogo wake Diamond - Saleh Abdul

Kijana anayedai ni mdogo wake Diamond - Saleh Abdul

Penny akizungumzia Video ya Diamond na kuhushu issue ile yan wema na diamond

KWELI SI KWELI SWEET WEMA ARUDIANA NA DIAMOND

ACCORDING TO MY SOURCE THEY ARE BACK TOGETHER  AND POLE SANA  PENNY HONEY BUT TO DATE  DIAMOND AINT EASY LOL!!!!!!!!!!!
ON THE SAME TRIP
                            HAHAHA THEN DIAMOND ANA TWEET
   

Monday, 16 September 2013

DANCING WITH SNOOKI


Nicole 'Snooki' Polizzi's Dancing with the Stars Blog: My Body Aches & My Feet Are Blistered


Nicole "Snooki" Polizzi is a mom, author, entrepreneur and star of MTV's Jersey Shore and Snooki & JWoww. She'll be blogging for PEOPLE.com as she competes on season 17 of Dancing with the Stars with new pro Sasha Farber.

I am SO excited to be blogging about myDancing With The Stars journey! 

I'd like to start my first blog post by saying how honored I am to be chosen as a dancer. I don't have any ballroom dancing skills, so this whole experience is going to be very interesting. 

I just went through the first whole week of rehearsals with my amazing partner, Sasha Farber. When I first met Sasha, I was so happy because he wasn't that tall! I was praying I would get a small dancer since I am only 4-ft., 8-in. tall. Even though it's Sasha's first season as a DWTS pro, he has been an amazing teacher and I feel like we've been besties forever. I couldn't be happier to be paired up with him. 

Dancing with the Stars: Nicole 'Snooki' Polizzi Blogs About Rehearsing


































































Miley Cyrus and Liam Hemsworth End Engagement

Miley Cyrus and Liam Hemsworth End EngagementIt's officially over: Reps for both Miley Cyrusand Liam Hemsworth confirm to PEOPLE exclusively that the engagement is off between the two stars. 

The news marks the end of a tumultuous year in which Cyrus, 20, and Hemsworth, 23, have experienced more break-ups than bonding moments. 

The couple – who first met on the movie set of 2010's The Last Song – got engaged in May 2012. At the time, the singer told PEOPLE, "I'm so happy to be engaged and look forward to a life of happiness with Liam." 

But earlier this year, the pair decided to postpone their wedding

TEMBA FT. BOBBY MAPESA N NYOTA NDOGO - NAWACHANGANYA

BABY MADAHA ANASWA LIVE NA MUME WA MTU.

STAA wa sinema na Bongo Fleva, Baby Madaha amenaswa live akiingia na kula bata hotelini akiwa na mwanaume aliyetajwa kwa jina la  Joe Kariuki.




Tukio hilo lililopigwa chabo na shushushu wetu lilijiri wikiendi iliyopita, majira ya usiku mnene katika Hoteli ya De France iliyopo Sinza, Dar ambapo Madaha alionekana akiwa amejiachia vya kutosha kwa mwanaume huyo

Ili kupata mzani wa habari hiyo, gazeti hili lilizungumza na Madaha ambaye alikiri kuwa na mwanaume huyo hotelini hapo huku akidai ni meneja wake.

“Joe (Kariuki) ni meneja wangu wa Kampuni ya Candy n’ Candy Records ya Nairobi, Kenya ndiye anayesimamia kazi zangu na tayari nimeachia ngoma moja inayo-hit ya Summer Holiday,” alijitetea Madaha.

Emeli Sande - My Kind of Love

AHH KUMBE HEMED SULEIMAN(TANZANIAN ACTOR) HAPENDI KUONGA HAHA

Sunday, 15 September 2013

HAYA TENA !!!!!!!!!!!!!!!! J-MARTINS AMZAWADIA OMMY DIMPOZ ZAWADI YA MILION 17

Meneja wa Heineken Tanzanua , Uche Unigwe, Ommy, Salama na rafiki

Ommy akiwa amevaa mkufu aliozawadia na J-Martins (Picha: Gongamx)
Mkufu huo alizawadiwa jana na staa wa Nigeria J-Martins kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa jana iliyoendana sambamba na party ya East Meets West iliyofanyika Elements Lounge.
20130914-050155-600x400

J-Martins, Ommy Dimpoz na Man Walter
“Kiukweli mimi mwenyewe nilifarijika sana,” Ommy ameiambia Bongo5.
“Niliona jamaa hatukuishia kwenye kufanya kazi lakini tumefanya kazi for the love, tumeongea vitu vingi kuhusu mipango yetu ya video. Kikubwa zaidi nilifurahi sana, bado furaha yangu ipo naona imekuwa ni kitu kikubwa kwangu, nafikiri wiki hii imekuwa wiki nzuri sana,” ameongeza

J-Martins, Ommy Dimpoz na Man Walter
“Kiukweli mimi mwenyewe nilifarijika sana,” Ommy ameiambia Bongo5.“Niliona jamaa hatukuishia kwenye kufanya kazi lakini tumefanya kazi for the love, tumeongea vitu vingi kuhusu mipango yetu ya video. Kikubwa zaidi nilifurahi sana, bado furaha yangu ipo naona imekuwa ni kitu kikubwa kwangu, nafikiri wiki hii imekuwa wiki nzuri sana,” ameongezaNi mkufu ambao una vitu vya kung’aang’aa, kwa msanii mkubwa kama yeye kunua mkufu wa dola elfu 10 anaweza kuafford.”
DSC_6399 (900x604) (604x405)

Gwen Stefani's Baby Bump Can't Stay In Hiding! See The New Pic HERE!


You know we love us a baby bump!
And Gwen Stefani seems to finally be sporting a pretty obvious one after rumors broke that she was expecting her third child.

Sarah Palin SUED Over Using 9/11 Image To Promote & Raise Money For Herself!

hahaha  REALLY HUH



Seriously yuck!
It's almost hard to believe that anyone would do this, but it seemsSarah Palin has actually been using a touching and emotional 9/11 image to promote herself!
There is a famous photo of New York City firefighters putting up a U.S. flag on 9/11, but that image is owned by North Jersey Media Group Inc. However, that apparently didn't stop Sarah from posting the image on her Facebook page with her PAC logo at the bottom of it!
Now, a lawsuit has reportedly been filed over copyright infringement. In the lawsuit, the publisher commented: Read the rest of this entry »
Sarah Palin

Britney Spears Is Making You Work A Day Early! Listen To The Leaked Song HERE!



Feast your ears on this greatness!!
We already told you this song was going to be a hit, and now you can judge for yourself because Britney Spears' new single, Work Bitch, has leaked a day early!
And we have a feeling people will be dancing to it all day long! Oh, and they'll probably be putting on their best British Britney accents to match the pop princess herself.
Basically, everyone is going to be loving all over this HOT song!
So go do it already and ch-ch-check it out...AFTER THE JUMP!!

UNGA, MAZIWA ,MAFUTA YA TAA VYOTE VIMEPANDA

HAYA NDIYO YALIOAMULIWA NA UHURU, KAGAME, MUSEVENI


Wiki iliyopita Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na Rais wa Rwanda, Paul Kagame walikutana Mombasa nchini Kenya na kuzindua mradi mkubwa wa ujenzi wa reli.


Katika uzinduzi huo marais hao wameweka muda wa kuanza kwa miradi mitatu mikubwa, mosi kuanza kwa mradi wa ujenzi wa reli kutoka Mombasa-Kampala mpaka Kigali, ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Eldoret-Kampala mpaka Kigali na kujenga miundombinu ya umeme wa uhakika.

Pia marais hao wamewaagiza mawaziri wa fedha wa nchi hizo kuandaa mapendekezo ya utekelezaji wa miradi hiyo mitatu na taarifa ya mapendekezo hayo wataitoa kwa marais hao katika mkutano ujao.


Kwa mujibu wa mratibu wa miradi hiyo, Monique Mukaruliza, ujenzi wa bomba la kusafisha mafuta kutoka Eldoret-Kampala mpaka Kigali, unatarajiwa kukamilika 2017 huku kabla ya mwisho mwa mwaka huu, viongozi wa  nchi hizo wakubaliana kuzindua ushuru wa pamoja wa forodha kwa ajili ya kusafirisha bidhaa kwa masharti nafuu kutoka nchbi moja hadi nyingine.

Ujenzi wa Reli Kuanza Novemba

Wakati hayo yakiendelea, taarifa zinaeleza kuwa ujenzi wa reli hiyo utagharimu dola 3.5 bilioni na mradi huo utakamilika mwaka 2018 huku ujenzi wa awali wa mradi wa reli kutoka Mombasa mpaka jijini Nairobi unatarajiwa kuanza Novemba, mwaka huu.
Vilevile kuanzia Januari mwakani,  Rais wa Kenya, Kenyatta na Kagame wamekubaliana kwamba wananchi wao waanze kutumia vitambulisho vya uraia kusafiria katika nchi hizo wakati Uganda itatumia kadi ya kupiga kura kusafiri Kenya na Rwanda. 


Mbali na hayo taarifa iliyotolewa hivi imebainisha kwamba katika mkutano wa pili uliofanyika Mombasa wiki iliyopita, marais hao waliwaagiza mawaziri wa fedha wa nchi hizo kuandaa mapandekezo ya utekelezaji wa miradi hiyo ndani ya mwezi mmoja na nusu.
Wataalamu wa masuala ya uchumi, anabainisha kwamba reli hiyo itakuwa na uwezo wa kubeba mizigo na kukimbia kilometa 80 kwa saa wakati ikapoanza kusafirisha mizikgo katika ukanda huo.


Bandari ya Mombasa, inategemewa kwa zaidi ya asilimia 50 na Rwanda katika kuagiza mizigo huku wakati huo huo ikitegemewa na Uganda, Mashariki mwa Demokrasia ya Konga (DRC), Burundi, Kaskazini mwa mikoa ya Tanzania na Sudani Kusini.
Burundi na Sudani Kusini
Katika mkutano huo marasi wa nchi hizo tatu walikubali kuijumuisha Burundi na The Presidents agreed to consider Burundi na Sudani Kusini miradi hiyo baada ya kuudhuria mkutano huo kama wageni waalikwa.Kutokana na makubaliano hayo ni dhahiri kwamba nchi hizo tano zimekubaliana kufanya kazi pamoja katika utekelezaji wa miradi hiyo kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi wa nchi hizo kiuchumi
“Wawakilishi wa Burundi na Sudani Kusini wanapaswa kuwa sehemu ya miradi hiyo na hasa katika kamati za ufundi," inaeleza sehemu taarifa ya mkutano huo.
Mukaruliza anabainisha kwamba Burundi na Sudani Kusini walialikwa kwenye mkutano huo kama watamazaji na baadaye waliomba kuwa sehemu ya juhudi za kuanzisha miradi hiyo.



Katika mkutano huo Rais Kenyatta alitoa taarifa ya maendeleo ya miradi hiyo iliyotokana na mkutano uliofanyika  Entebbe, Juni mwaka huo.


“Ninayo furaha kutoa taarifa ya mradi wa bomba la mafuta na katika hatua ya kwanza ya maendeleo ya mradi wa bomba la mafuta, unaendelea vizuri na hatua ya awali tayari imeanza na upembuzi yakinifu umekamilika," anasema Rais Kenyatta.



Pia Kenyatta anasema kwamba kuna changamoto zinazokabili nchi hizo na kwamba wanapaswa kuungana pamoja kwa ajili ya kuzishinda na kufikia malengo yaliokusudiwa.


Kuhusu hati za kuruhusu watu wa Jumuia ya Afrika Mashariki kuingia katika nchi moja hadi nyingine, katika mkutano huo suala hilo lilijadiliwa na mkutano uliwaagiza mawaziri husika kutoa taarifa kwa nchi ya Kenya, Rwanda na Uganda katika mkutano wa tatu utakaofanyika Oktoba mwaka huu ili mpango huo uanze Januari mosi, mwakani.


Vilevile mawaziri husika wameagizwa kukamilisha mchakato wa kutumia vitambulisho vya uraia kabla ya Oktoba, mwaka huu ili vitumike kama hati rasmi kusafiria katika nchi hizo Januari mosi, mwaka huu.


Katika mkutano huo, Rais wa Sudani Kusini, Salva Kiir Mayardit aliwakilishwa na waziri wake wa masuala nje, by , Dk Barnaba Marial Benjamin wakati waziri wa usafirishajiwa Burundi, Deogratias Rurimunzu alimwakilisha  the rais Pierre Nkurunziza.

Mkutano mwingine utafanyika Oktoba mwaka huu jijini Kigali.


Nicki Minaj Skated On A Traffic Ticket

WEMA SEPETU REALITY SHOW TEASER.




AAAHHH MY GAL WEMA SEPETU SHE IS COMING OUT WITH A NEW REALITY SHOW ABOUT HER LIFE,,,,,,,,,,, I CANT WAIT!!!!!!!!!!!   BUT WE ALL KNOW ANY REALITY  LAZIMA DRAMA SOOOO MAMA IWE NA DRAMA

Mkasi - SO4E11 with Monalisa

LULU  UMEANZA TENA MAMA!!!!!!!!!









lulu mtoto mzuri na camera man wake farid uwezo anakubali uwezo

Do Kenyans really understand why Kidero slapped Shebes?

Do Kenyans really understand why Kidero slapped Shebesh http://bit.ly/192ZNyz

Wednesday, 17 July 2013

FUTHARI NA DIAMOND PLATNUMZ

EEEEEEEHHHH FUTHARI  YA  NGUNZU 
 
HAPANA NI KWA KINA DIAMOND MAANJUMATI HEHEHEHE

Monday, 15 July 2013

starting my new BABYMUS LINE SOO HAPPY

HATERS WATCH ME!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!